![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhWL2Bdh1MY-8fzlerQFzEi6_bUwgu9PfTui1mvJsHe75wytcN8qGnv6hUAqxg3WdoOIO7MVpM05dWExfBfJ-bdubJK4Ah1mx8-BUOT0VB42sb92A4IAa1Spv1lyG66V2SW6pP2OWiudT0/s320/4482602.jpg)
Jahazi wanasema:
Malipo ni duniani, akhera kuhesabiwa
usijigeuze nyani, kucheka uliyoombewa,
wajua unakotoka, hujui unakokwenda
mithili ya rabuka, haijui mwanamwenda
hata uwe unaruka, kwa mola huwezi kwenda
-
Alopewa mitihani, mungu hajamuonea
Msikae vikaoni, vidole kumnyooshea
--
Kibwagizo
-----------
Wasafirishe wapeleke pwani na jahazi
Mwanamke nyonga, makalio ni majaliwa
Uongo Uongo?
No comments:
Post a Comment