Friday, September 24, 2010

Je Arsenal wanaonea wanyonge?

Katika mechi tatu Arsenal wamefikisha jumla ya magoli 16. Walipocheza dhidi ya Braga ya Ureno walitikisa magoli mara sita, kabla ya hapo waliichapa Bolton Wonderers goli 4-1, awali Blackpool walipigwa 6-0





Arsene Wenger anaamini timu yake imejengeka zaidi na itapata mafanikio, lakini amesikika akisema hivyo miaka kadhaa bila kuambulia kitu.


Maswali ambayo yanaibuka ni je Arsenal inaonea wanyonge? Wakipambana na timu kali kama Chelsea, Man U au Real Madrid na Barcelona watafurukuta kwa kasi hiyo waliyo nayo sasa?

Ni wazi kuwa safu ya ulinzi msimu huu imeimarika zaidi kuliko wakati Mikael Sylvestre na Sol Campbell na William Gallas walipokuwa wakicheza katikati. Lakini kama ni Arsenal kuonea wanyonge, iweje pasipo Robin van Parsie, Theo Walcott, Thomas Vermaelen, Abu Diaby na wengineo, bado wanaweza kufunga magoli sita katika mechi moja?

Huenda ni mapema sana kuhoji uimara wa Arsenal. Lakini meneja Arsene Wenger anasema ana imani kikosi chake kimejengeka na kipo tayari kukwaruzana na timu yoyote kubwa au ndogo.

Kwa jinsi walivyocheza mechi ya ligi ya vilabu bingwa barani Ulaya dhidi ya Braga, Arsenal wanacheza soka ya kuvutia, lakini mara nyingi soka hiyo imegeuka kuwa maumivu wanapocheza na timu zisizokuwa na masihara mbele ya goli.

Na je Arsene Wenger amesikika mara ngapi akisema "chipukizi wake" watabeba kikombe au vikombe? Tunachoweza kufanya kwa sasa, ni kusubiri mwisho wa msimu

Tuesday, September 14, 2010

2010 VMAs: The MTV Video Music Awards red carpet is ruled by Lady Gaga




While everyone waited for Kanye West and Taylor Swift to butt heads on the 2010 MTV Video Music Awards Sunday night, the stars caused an explosion on the red carpet - one in particular.

Continuing on from last year, Lady Gaga was the show stopper at this year's VMA awards. The 'Alejandro' singer won over the audience when she cried over Cher holding her meat purse, paid tribute to late designer Alexander McQueen and sang some lines from her new album, 'Born This Way.'





Lady Gaga

Stefani Joanne Angelina Germanotta (born March 28, 1986), known by her stage name Lady Gaga, is an American recording artist. She began performing in the rock music scene of New York City's Lower East Side in 2003 and enrolled at New York University's Tisch School of the Arts. She soon signed with Streamline Records, an imprint of Interscope Records. During her early time at Interscope, she worked as a songwriter for fellow label artists and captured the attention of Akon, who recognized her vocal abilities, and signed her to his own label, Kon Live Distribution.



Released on August 19, 2008, her debut album, The Fame, reached number one in the UK, Canada, Austria, Germany and Ireland, and reached the top-ten in numerous countries worldwide; in the United States, it peaked at two on the Billboard 200 chart and topped Billboard's Dance/Electronic Albums chart. Its first two singles, "Just Dance" and "Poker Face", co-written and co-produced with RedOne, became international number-one hits, topping the Billboard Hot 100 in the United States as well as the charts of other countries. The album later earned a total of six Grammy Award nominations and won awards for Best Electronic/Dance Album and Best Dance Recording. In early 2009 she embarked on her first headlining tour, The Fame Ball Tour. By the fourth quarter of the year, she had released her second studio album The Fame Monster, with the global chart-topping lead single "Bad Romance", as well as having embarked on her second headlining tour of the year, The Monster Ball Tour.



Lady Gaga is inspired by glam rock artists such as David Bowie and Queen, as well as pop singers such as Madonna and Michael Jackson. She has also stated fashion is a source of inspiration for her songwriting and performances. Gaga was ranked the 73rd Artist of the 2000–10 decade by Billboard.[1] As of August 2010, Gaga has sold more than 15 million albums and 51 million singles worldwide.[2][3] In May 2010, Time magazine included Gaga in its annual Time 100 list of the most influential people in the world. In June 2010, Forbes listed Gaga fourth on its list of the 100 Most Powerful and Influential celebrities in the world; she is also ranked as the second most powerful musician in the world

Chelsea Handler tells VMA critics like Perez Hilton to shove it after 11.5 million viewers tune in


Chelsea Handler thinks everyone should just eff off.

The "Chelsea Lately" host is blasting critics of her performance as the host of the MTV Video Music Awards on Sunday.

"I had a really great time last night," said Handler on her show Monday night, “and for anyone who thinks I didn't do a good job, f--- off."

On Monday, The New York Times called Handler "among the worst [hosts] in the show's history," and the Washington Post slammed her jokes as "a few degrees below crass."

But Handler's most vocal opponent was infamously vitriolic celebrity blogger Perez Hilton.

"For the most part, we were bored and just hoping she would shut the hell up so we could hear more music," he wrote.

Handler responded by attacking Hilton personally.

"oh, f--- off," she Tweeted Tuesday morning. "I had a blast and the show awesome last night. Bomb? Your life is a bomb."

The duo traded expletives for several hours, but Handler got the last laugh when word of the show's ratings came in.

The VMAs reportedly netted 11.4 million viewers and, according to EW.com, is currently the highest-rated cable telecast of 2010

Thursday, September 2, 2010

N'dour wa Senegal azindua televisheni



Mwanamuziki wa miondoko ya Pop kutoka Senegal Youssou N'dour amezindua rasmi kituo chake cha televisheni baada ya kusumbuana na serikali ya nchi hiyo kwa miaka miwili.

Mwanamuziki huyo tayari anamiliki kampuni yake binafsi inayoshughulikia vyombo vya habari huko Dakar, inayokusudia kuipinga serikali ya nchi hiyo.

Waandishi wanasema, kituo hicho kipya, TFM, kitaonyesha masuala ya kiutamaduni, baada ya serikali kumnyima leseni ya kuonyesha mambo mengine tofauti.

Bw N'dour kwa sasa ana matumaini ya kuzifikia nchi jirani.


Youssou N'dour


Mwandishi wa BBC wa Afrika magharibi aliyopo Dakar Thomas Fessy alisema mwanamuziki huyo ana matumaini ya kampuni yake kuwa shirika kuu la habari eneo hilo la magharibi ya Afrika.

Kituo chake cha redio, kilichozinduliwa miaka saba iliyopita, kina mafanikio makubwa na ina wasikilizaji wengi katika mji mkuu wa Dakar.

Mhariri wa redio hiyo Allassane Samba Diop, ambaye atafanya kipindi kimoja katika televisheni hiyo ya TFM (Television Future Medias), aliiambia BBC kwamba "utamaduni" inawanyima nafasi ya kufanya vipindi vingi.

Alisema bado itakiruhusu kituo hicho kuandaa masuala ya kijamii, kisiasa na kiuchumi. TFM ni televisheni ya tano ya kibinafsi nchini humo.

Youssou N'dour aliimba na kutoa hotuba kuadhimisha uzinduzi huo.

"Katika ulimwengu ambao watu zaidi wanaathiriwa na nguvu ya picha na kasi ya habari, nina furaha kusema kwamba serikali ya Senegal imechukua uamuzi sahihi tarehe 11 Mei 2010, kuruhusu TFM kufanya matangazo."

Ushawishi wa kisiasa?
Mashabiki walifurahia uzinduzi huo.

Mshabiki mmoja Saliou Diouf, "Tunaomba Mungu aibariki televisheni yake.....Tunamtakia kila la kheri tukiwa na matumaini, huku tukimshukuru Mungu, atafanikiwa kwa yale aliyoyakusudia na televisheni hii."

Mtafaruku wa leseni ulianza rasmi kutokana na namna televisheni hiyo itakavyodhaminiwa.

Rais wa Senegal Abdoulaye Wade awali alisema leseni ya kurusha matangazo imekataliwa ili kuzuia "watu wa kigeni" kutoa ushawishi wa sera zao.

Mwandishi wa BBC mjini Dakar Tidiane Sy alisema, Bw N'dour alitumia umaarufu wake kama mwanamuziki, kuwakusanya maelfu ya wafuasi kumwuunga mkono na hatimaye akafikia muafaka na serikali.

Mwandishi wetu aliongeza, Bw N'dour alisema hivi karibuni kwamba hatowania urais, lakini atamwuunga mkono anayegombea urais katika uchaguzi ujao, unaotarajiwa kufanyika mwaka 2012.

Pakistan yawaacha 'watatu'





Meneja wa timu ya Pakistan Yawar Saeed amesema wachezaji watatu wa kriketi wa Pakistan wanaotuhumiwa kupanga matokeo hawatacheza michezo yete iliyosalia nchini Uingereza.


Butt, Asif na Amir wanaotuhumiwa kupanga matokeo


Salman Butt, Mohammad Asif na Mohammad Amir, wanachunguzwa na polisi kuhusiana na tuhuma kuwa Asif na Amir walirusha mipira mibovu kwa makusudi.

Mwenyekiti wa bodi ya kriketi ya Pakistan (PCB) Ijaz Butt alisema siku ya Jumatano kuwa wachezaji hao wanaweza kuendelea kucheza.

Lakini Saeed amesema "nimeamua kutowachezesha, na sio kwamba wamesimamishwa uchezaji".

Nahodha wa michuano ya test Salman Butt na warusha mipira Asif na Amir, wako mjini London wakiwa katika kikao cha uchunguzi cha PCB kuhusiana na matukio kwenye mchezo kati ya Pakistan na England kwenye uwanja wa Lords. Wachezaji wenzao wanacheza mchezo wa mazoezi dhidi ya Somerset huko Taunton.

Pakistan, ambao walipoteza mchezo wao wa Test kwa 3-1, watacheza tena michezo miwili ya Twenty20 dhidi ya England, wa kwanza ukifanyika Jumapili mjini Cardiff, kabla ya kucheza michezo mitano ya one-day series.