Wednesday, November 24, 2010

Dae Guk Nam Ah






Dae Guk Nam Ah @ D-NA

Jay, Karam, Hyomin, Mika and Injun

From company Openworld Entertainment

3 out of 5 members used to be under XING Entertainment (Idol Group)

All I could remember from the group Xing were the two boys who would pop and lock in the streets and that's pretty much it.

They just debuted in the Month of March

They can sing and dance very well in Live shows
They did an Acapella introduction of themselves
They looked up to TVXQ
Best of all, their average age is 17. 5 years old if I'm not mistaken

Except for Jay ==''

He's a year younger than me but he's the one I liked the most!!!!
But it's all good~

Anyways, I'll be on a look-out on how these boys progress
Kekekeke~

Check out their first single Admiring Boy

KTHANXBAI

T-ARA; I go crazy because of you


First released single and music video from T-ARA's 2nd album

I go crazy because of you

This song reminds me of Britney Spears Womanizer/If You Seek Amy

But I'm not complaining

I love Britney Spears's songs ^^

Haha, am loving T-ARA's song too :DD

So check it out, if you don't mind the similarities :p

Mshambuliaji wa Inter Milan Samuel Eto'o amefungiwa kucheza michezo mitatu


Samuel Eto'o

Samuel Eto'o afungiwa michezo mitatu
Mshambuliaji wa Inter Milan Samuel Eto'o amefungiwa kucheza michezo mitatu ya Ligi ya Italia maarufu Serie A, baada ya kumtwanga kichwa mchezaji wa klabu ya Chievo, Bostjan Cesar.

Wachezaji hao wawili walikumbana katika dakika ya 38 ya mchezo ambapo Inter walilazwa mabao Inter 2-1 na Chievo siku ya Jumapili, baada ya Cesar kurusha ngumi hafifu iliyompata Eto'o usoni.

Eto'o, ambaye tayari ameshafunga mabao 17 msimu huu, aliondoka katika eneo alilorushiwa ngumi, lakini baadae akamgeukia mgomvi wake na kumtwanga kichwa kifuani.

Mwamuzi hakuchukua hatua yoyote kutokana na tukio hilo, lakini Shirikisho la Soka la Italia, limemfungia Eto'o baada ya kupitia ushahidi wa mkanda wa video.

Ligi ya Italia ilishawahi kutumia ushahidi wa video siku za nyuma na walimfungia mshambuliaji wa Fiorentina Alberto Gilardino kucheza michezo miwili baada ya kufunga bao kwa mkono.

Taarifa iliyotolewa na Ligi hiyo ya Italia, Serie A, imesema kichwa alichorusha Eto'o's ambacho waamuzi hawakukiona, ni shambulio la aibu na ni utovu wa nidhamu usiokubalika.

Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Cmeroon, ambaye amepigwa faini ya euro 30,000, ataweza kucheza siku ya Jumatano katika mechi ya Ligi ya Ubingwa wa Ulaya dhidi ya FC Twente.

Lakini kufungiwa kucheza mechi tatu za ligi ya Italia, ni pigo kubwa kwa kocha wake Rafael Benitez, ambaye hivi sasa anakabiliwa na wachezaji wengi majeruhi, akiwemo mpachika mabao hatari Diego Milito.

Mabingwa hao watetezi wa Italia, msimu huu wamebanwa baada ya kupoteza mechi kadha na kwa sasa wanashikilia nafasi ya sita ya msimamo wa ligi, pointi tisa nyuma ya mahasimu wao wakubwa , AC Milan.

Taarifa za vyombo vya habari zimekuwa zikidai huenda kocha Rafael Benitez akafutwa kazi ikiwa Inter Milan ambao ni mabingwa watetezi, watapoteza mechi na FC Twente.

Hata hivyo Rais wa klabu hiyo Massimo Moratti amekanusha madai hayo na kusema ataendelea kumuunga mkono Benitez