Wednesday, November 24, 2010

Dae Guk Nam Ah






Dae Guk Nam Ah @ D-NA

Jay, Karam, Hyomin, Mika and Injun

From company Openworld Entertainment

3 out of 5 members used to be under XING Entertainment (Idol Group)

All I could remember from the group Xing were the two boys who would pop and lock in the streets and that's pretty much it.

They just debuted in the Month of March

They can sing and dance very well in Live shows
They did an Acapella introduction of themselves
They looked up to TVXQ
Best of all, their average age is 17. 5 years old if I'm not mistaken

Except for Jay ==''

He's a year younger than me but he's the one I liked the most!!!!
But it's all good~

Anyways, I'll be on a look-out on how these boys progress
Kekekeke~

Check out their first single Admiring Boy

KTHANXBAI

T-ARA; I go crazy because of you


First released single and music video from T-ARA's 2nd album

I go crazy because of you

This song reminds me of Britney Spears Womanizer/If You Seek Amy

But I'm not complaining

I love Britney Spears's songs ^^

Haha, am loving T-ARA's song too :DD

So check it out, if you don't mind the similarities :p

Mshambuliaji wa Inter Milan Samuel Eto'o amefungiwa kucheza michezo mitatu


Samuel Eto'o

Samuel Eto'o afungiwa michezo mitatu
Mshambuliaji wa Inter Milan Samuel Eto'o amefungiwa kucheza michezo mitatu ya Ligi ya Italia maarufu Serie A, baada ya kumtwanga kichwa mchezaji wa klabu ya Chievo, Bostjan Cesar.

Wachezaji hao wawili walikumbana katika dakika ya 38 ya mchezo ambapo Inter walilazwa mabao Inter 2-1 na Chievo siku ya Jumapili, baada ya Cesar kurusha ngumi hafifu iliyompata Eto'o usoni.

Eto'o, ambaye tayari ameshafunga mabao 17 msimu huu, aliondoka katika eneo alilorushiwa ngumi, lakini baadae akamgeukia mgomvi wake na kumtwanga kichwa kifuani.

Mwamuzi hakuchukua hatua yoyote kutokana na tukio hilo, lakini Shirikisho la Soka la Italia, limemfungia Eto'o baada ya kupitia ushahidi wa mkanda wa video.

Ligi ya Italia ilishawahi kutumia ushahidi wa video siku za nyuma na walimfungia mshambuliaji wa Fiorentina Alberto Gilardino kucheza michezo miwili baada ya kufunga bao kwa mkono.

Taarifa iliyotolewa na Ligi hiyo ya Italia, Serie A, imesema kichwa alichorusha Eto'o's ambacho waamuzi hawakukiona, ni shambulio la aibu na ni utovu wa nidhamu usiokubalika.

Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Cmeroon, ambaye amepigwa faini ya euro 30,000, ataweza kucheza siku ya Jumatano katika mechi ya Ligi ya Ubingwa wa Ulaya dhidi ya FC Twente.

Lakini kufungiwa kucheza mechi tatu za ligi ya Italia, ni pigo kubwa kwa kocha wake Rafael Benitez, ambaye hivi sasa anakabiliwa na wachezaji wengi majeruhi, akiwemo mpachika mabao hatari Diego Milito.

Mabingwa hao watetezi wa Italia, msimu huu wamebanwa baada ya kupoteza mechi kadha na kwa sasa wanashikilia nafasi ya sita ya msimamo wa ligi, pointi tisa nyuma ya mahasimu wao wakubwa , AC Milan.

Taarifa za vyombo vya habari zimekuwa zikidai huenda kocha Rafael Benitez akafutwa kazi ikiwa Inter Milan ambao ni mabingwa watetezi, watapoteza mechi na FC Twente.

Hata hivyo Rais wa klabu hiyo Massimo Moratti amekanusha madai hayo na kusema ataendelea kumuunga mkono Benitez

Friday, October 29, 2010

Friday, October 15, 2010

Eminem Died In A Car Crash??



Leates news updates Eminem died? Eminem died in a car crash? Did rapper Eminem die less than one week after his “8 mile” co-star Brittany Murphy? The Detroit born rapper is said to have died in a wreck. This is coming from the same people that said that Lil Wayne died and that Miley Cyrus died… SMH! When will people believe that not everything you read on the internet is true – errrr – except for what you read on latest hot world news, that is(Eminem Died)

The stupid report details how the rapper was killed in a horrible car crash,just days after his “8 mile” co-star Brittany Murphy passed away.Eminen is well and he recently re-released his sixth studio album called “Relapse: Refill

Eminem died? Eminem died in a car crash? Did rapper Eminem die less than one week after his “8 mile” co-star Brittany Murphy? The Detroit born rapper is said to have died in a wreck. This is coming from the same people that said that Lil Wayne died and that Miley Cyrus died... SMH! When will people believe that not everything you read on the internet is true - errrr - except for what you read on that is!

No, Eminem is NOT dead, so stop spreading silly rumors!
Related searches:
eminem, eminem dead, did eminem die, is eminem dead, eminem death

Monday, October 11, 2010

Kenya na Uganda zang'ang'ania medali




Mateelong ashinda dhahabu

Wanariadha wa Kenya walinyakua medali zote tatu, dhahabu, fedha na shaba katika mbio za mita elfu tatu kuruka viunzi.

Richard Mateelong aliongoza msafara wa Wakenya alipomaliza baada ya muda wa dakika 8:16:39 akifuatiwa na Ezekiel Kemboi naye bingwa wa Olimpiki Brimin Kiprop Kipruto alibaki kuikumbatia medali ya shaba.

"Ni matokeo mazuri sana", alisema Mateelong huku akikiri kwamba "kilikuwa kibarua kigumu sana lakini nimefurahi kupata ushindi".

Akizungumza baada ya mashindano, Kipruto alisema nia yao kubwa ilikuwa kuhakikisha kwamba wananyakuwa medali zote tatu.


Kipsiro anyang'anya Wakenya tonge mdomoni





Kipsiro awapiku Wakenya na kunyakua dhahabu ya pili

Baadaye, Nancy Jebet Langat pia kutoka Kenya alishinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 800 ikiwa ni taji la pili baada ya kushinda mita 1,500 mnamo mwisho wa wiki.

Pambano la mita 800 lilizua msisimko katika uwanja wa Jawaharlal Nehru wakati mwenyeji Tintu Luka alijitosa mbele kwa mikikimikiki huku akishangiliwa kwa mayowe na vifijo.

Mkenya mwingine Winny Chebet ambaye alionekana kuwania nafasi ya pili, alianguka akiwa amesalia na mita 10 peke yake kumaliza mbio hizo.

Lakini baada ya kuongoza mzunguko wa kwanza Tintu alianza kupwaya, pumzi ikamwishia, wenzake wakampita na akamaliza mnamo nafasi ya sita.

Ilikuwa ni siku ya kufana pia kwa Uganda baada ya Moses Ndiema Kipsiro kushinda medali yake ya pili baada ya kuwapiku wapinzani kutoka Kenya katika mbio za mita elfu 10.

Wiki iliyopita Kipsiro alionyesha ukali wake alipotamba mbele na kushinda dhahabu katika mbio za elfu tano.

Katika mbio za mita elfu 10, nusura Wakenya wangenyakuwa dhahabu lakini Kipsiro alikataa kata kata huku akitwaa ushindi kwa dakika 27:57.39. Mkenya Daniel Salel alisalia na fedha huku Joseph Birech akijishindia shaba.

Saturday, October 9, 2010

Msimamo wa Ligi Kuu ya England



Asabar, 9 Oktoba 2010 00:00 UK

Position Timu
M TG PNT

1 Chelsea 7 21 18
2 Man City 7 6 14
3 Man Utd 7 7 13
4 Arsenal 7 7 11
5 Tottenham 7 2 11
6 West Brom 7 -3 11
7 Stoke 7 -1 10
8 Aston Villa 7 -3 10
9 Blackpool 7 -4 10
10 Fulham 7 1 9
11 Sunderland 7 0 8
12 Bolton 7 -1 8
13 Blackburn 7 -1 8
14 Wigan 7 -9 8
15 Newcastle 7 0 7
16 Birmingham 7 -3 7
17 Everton 7 -1 6
18 Liverpool 7 -4 6
19 Wolves 7 -5 5
20 West Ham 7 -9 5

Man United yadaiwa paundi milioni 80


Man United yakabiliwa na deni kubwa



Klabu ya Manchester United imearifiwa inadaiwa paundi milioni 79.6 za Uingereza hii ni kabla ya kukatwa kodi, ikiwa ni mzozo mkubwa wa kifedha kuikumba klabu, hiyo hali iliyosababisha kupungukiwa na fedha za mauzo ya wachezaji.





Deni hili ni la miezi 12 hadi mwezi wa Juni, ikilinganishwa na faida ya paundi milioni 48 kwa mwaka uliopita, ambapo mapato yaliongezeka baada ya kumuuza mshambuliaji wao Cristiano Ronaldo kwa paundi milioni 80.

Madeni yote kwa ujumla ya klabu hiyo kwa mwaka uliopita yalifikia dola milioni 67. Pia klabu hiyo ililipa riba ya paundi milioni 40.

Wakati watu nao walipungua kuingia uwanjani kwa mechi, hali iliyozidisha kuporomosha mapato ya kibiashara ya klabu.

Kwa ujumla mapato halisi ya Manchester United kwa mwaka yaliongezeka kwa paundi milioni 286.4.

Malipo ya riba ya paundi milioni 40 yaliyofanywa yalikuwa sawa na malipo ya mwaka uliopita.

Faida itokanayo na uendeshaji, ambayo haijumuishi gharama za madeni yaliyotokana na huduma, pia imepanda, na kufikia paundi milioni 100.8, ikilinganishwa na paundi milioni 92 kwa mwaka uliotangulia.

Manchester United ilinunuliwa na familia ya akina Glazer ya Marekani kwa dola milioni 800 mwaka 2005.

Mashabiki wanaoipinga wanadai familia hiyo imeitumbukiza klabu hiyo katika deni kubwa, hali iliyosababisha kuwepo na maandamano.

Mashabiki wengi wanaendelea kususia kuvaa fulana za klabu hiyo za rangi nyekundu pamoja skafu na badala yake wameamua kuvaa fulana za rangi ya kijani na dhahabu, ambazo ndio rangi za asili za Newton Heath, klabu iliyoanzishwa mwaka 1878 iliyokuwa an wachezaji wasio wa kulipwa ambayo baadae iligeuka na kuwa Manchester United.

Watoto wa Mombasa katika ziara Uingereza



Watoto 14 kutoka mjini Mombasa, Kenya, na wenye umri wa chini ya miaka 13, wamekuwa nchini Uingereza kushiriki katika mechi kadhaa za kandanda.



Watoto wakiwa na makocha wao na mwakilishi wa Touraid
Kundi hilo la watoto kwa jina Coastal Kings, yaani Wafalme wa Pwani, liliweza kupambana katika soka na watoto wa shule ya Uingereza ya Elstree.

Katika kipindi cha wiki moja, watoto hao waliweza kupata jumla ya magoli tisa, na muhimu zaidi, kupata marafiki watakaodumu katika maisha yao yote.

Vijana hao waliweza kutoka sare katika mechi tatu, na kupata ushindi katika moja.

Mwalimu mkuu wa shule ya Elstree, Mark Sayer, alisema alipendezwa mno na namna vijana hao kwa upesi walivyoweza kujumuika katika jamii ya Elstree.

Mara tu walipofika walishangazwa na maisha ya Elstree, lakini baada ya muda mfupi tu, waliweza kwa ujasiri mkubwa kuyazoea masiha ya Elstree.

Mwalimu mkuu Sayer alisema itakuwa ni kwa masikitiko makubwa watasema kwaheri, wakati ukiwadia wa watoto hao kufunga safari kurudi Mombasa.

Safari ya vijana hao nchini Uingereza ilipangwa na shirika linalofahamika kama Touraid.

Kwa mengi zaidi kuhusu safari ya watoto hao Uingereza, sikiliza matangazo yetu ya Ulimwengu wa Soka, siku ya Jumamosi, yatakayoanza saa kumi unusu za Afrika Mashariki.

Fifa kuwaondoa mawakala wa wachezaji



Fifa inatarajia kuondoa utaratibu wa kuwatumia mawaka kwa sababu asilimia 30 ya uhamisho wa wachezaji wa kimataifa unasimamiwa na mawakala wenye leseni.


Rais wa Fifa, Sepp Blatter


Chama cha Soka cha England kimewaambia mawakala huenda kuanzia mwezi wa Oktoba mwaka 2011 maombi mapya ya watu wanaotaka kuwa mawakala wenye leseni hayatapokelewa".

Mshauri wa soka Tor-Kristian Karlsen, ameiambia BBC: "Suala la mawakala halitakuwepo."

"Kwa hika ni vurugu tupu na huchukua muda mrefu kwa Fifa kufuatilia na kukagua na hakika ni suala lenye urasimu."

Katika suala zima la uhamisho wa wachezaji, mawakala wanawashauri wachezaji juu ya udhamini na haki zao pamoja na mambo mengine na kwa kawaida hulipwa kiasi fulani fedha kutokana na mapato ya mkataba wa mchezaji, kawaida huwa kati ya asilimia 5 hadi 10.

Kazi ya mawakala zaidi wanashughulika na uhamisho wa wachezaji na wanaweza kufanya kazi muhimu sana ya kusimamia mikataba ifanikiwe.

Utaratibu wa sasa wa Fifa unaohusu mawakala wa wachezaji ulianza kutekelezwa tarehe 1 Januari 2008, lakini mwaka uliopita, kitengo kazi cha Fifa kilikuwa kikikutana mara kwa mara kupitia upya namna utaratibu huo unavyofanya kazi.

Kikundi kazi hicho kitatoa taarifa yake mwishoni mwa mwaka 2010 na utaratibu mpya unatarajiwa kuanza baada ya mwezi wa Mei mwaka 2011, huku Fifa ikisisitiza kuliko kuupitia upya utaratibu wa mawakala, inaona ni vyema kuwa na watu binafsi watakaowakilisha wachezaji ama klabu".

Lakini kutokana na asilimia 70 ya uhamisho wa wachezaji wa kimataifa ukisimamiwa na mawakala wasio na leseni, Fifa imeridhika utaratibu wa sasa sio mzuri

Liverpool hatarini kupoteza pointi




Liverpool hatarini kupoteza pointi



Klabu ya Liverpool inakabiliwa na hatari ya kukatwa pointi tisa iwapo kampuni inayoimiliki ya Kop Holdings itafilisiwa wiki ijayo.





Kanuni za ligi zinaeleza pointi zinaweza kukatwa iwapo kampuni inayoimiliki inakabiliwa na hatari ya kufilisika kutokana na mzozo wa utawala.

Taarifa zilizopatikana zinasema wamiliki wa klabu hiyo Tom Hicks na George Gillett watakuwa na kibarua kigumu kujieleza kwamba uendeshaji wa klabu hiyo hauathiri kampuni yao.

Liverpool inaweza ikaingia katika wimbi la kutangazwa imefilisika iwapo uuzwaji wa klabu hiyo hautakuwa umekubalika itakapofika tarehe 15 mwezi huu wa Oktoba.

Iwapo Hicks na Gillett watafanikiwa kuzuia uuzwaji wa klabu hiyo kwa gharama ya paundi milioni 300 kutoka kwa kampuni ya New England Sports Ventures (NESV), wanaomiliki timu ya mchezo wa baseball ya Marekani ya Boston Red Sox , kampuni yao inaweza kutangazwa imefilisiwa na Royal Bank of Scotland kutokana na deni inayodai ya paundi milioni 280.

Mtendaji Mkuu wa bodi inayoendesha Ligi kuu ya England Richard Scudmore, mwenyekiti Sir Dave Richards na katibu Mike Foster ndio watakaoamua kama kuna haja ya kuikata pointi klabu hiyo.

Liverpool tayari ipo katika wimbi la timu tatu zilizo chini ya msimamo wa Ligi Kuu ya England, baada ya kuanza vibaya msimu huu ikiwa na pointi sita tu kutokana na michezo saba iliyocheza hadi sasa.

Awali ilifikiriwa klabu hiyo ingeweza kuepuka adhabu hiyo, lakini sasa inakabiliwa na hatari iliyo wazi ya kukatwa pointi iwapo uuzaji wa klabu hiyo kwa kampuni ya NESV utacheleweshwa.

Friday, October 8, 2010

BMW 6 Series Concept




BMW 6 Series ConceptThis big BMW coupe squeaked onto our list, despite some serious reservations about the “concept” part of its name. What you’re looking at is the next 6 Series coupe, plain and simple. And to be honest, we love the end result. The awkward humps and bumps of the previous generation have been smoothed over and modernized.



The rear end of the 6 Series is particularly more refined (i.e., less lumpy) than the previous model. A more aggressive front end and sharp side creases add extra attitude. It might not be a concept in the strict sense of the term, though we can’t argue that the next 6 Series is going to be a looker.

Kia Pop




Kia Pop

To prove that we have sense of humor—and admire a healthy dose of bravery—we simply had to include the Kia Pop electric car. Okay, we’d prefer to see the Lamborghini Sesto Elemento or Jaguar C-X75 parked in our driveway. But if electric cars represent the future, let’s at least have some fun until we get there.



Whereas the upcoming Nissan Leaf EV was kept almost painfully bland—so as not to alienate everyone but the hippest of tech-loving early-adopters—the Kia Pop is anything but a shrinking violet, despite its tiny size. Yes, the chrome finish of this concept would make keeping it clean a nightmare. Yet we couldn’t help but smile at those wacky-looking side windows and doors that swing up and out.



The purple interior takes some serious getting used to. So would an estimated top speed of only 87 mph and a driving range of 100 miles. The Kia Pop EV is far from perfect and definitely risky. But isn’t that what concept cars should be all about?

Audi eTron Spyder Concept




Audi eTron Spyder Concept

This is the open-top version of the 2-seat eTron coupe shown earlier this year at Detroit. The Spyder features a cut-down windscreen and is actually a plug-in hybrid with a mid-mounted 300-bhp twin-turbo V-6 diesel to boost power and extend the vehicle’s range. Weighing just 3196 lb., the eTron has two electric motors that propel this sports car to 62 mph in 4.4 seconds, while top speed is electronically limited to 155 mph. In pure electric mode, the eTron has a range of about 30 miles, while the diesel enables the vehicle to travel more than 600 miles before refueling.

Renault DeZir Concept




Renault DeZir Concept

This first show car from Renault’s new design director Lauren van der Acker is a 2-seat pure electric sports car called the DeZir. The capital Z in the name refers to Renault’s new ZE line of electric motors—in this case it’s a 150-hp unit that accelerates the 1800-lb. car to 62 mph in about 5 seconds. Contributing to the car’s light weight is its Kevlar body, and the sleek shape gives the car an ultra-low 0.25 coefficient of drag. The rear-drive DeZir has a range of about 100 miles between charges. The car is also equipped with a Kinetic Energy Recover System (KERS) developed by the Renault Formula 1 team that provides regenerative braking.

Exagon Furtive-eGT



The latest entry into the range-extended sporty car market is the French-built Exagon Furtive-eGT, which is slated to go into limited production in 2012. Powered by lithium-ion batteries, the Furtive-eGT has an electric-only range of 160 to 250 miles, while an optional gas engine can extend that range to 500 miles. Exagon says the car is capable of 0 to 62 mph acceleration of 3.5 seconds and that the car has a top speed of 178 mph. The company hopes to build about 100 cars a year when it goes into full production. Unlike most EVs that use the motors to directly drive the wheels, the Furtive-eGT uses a 3-speed paddle-shift gearbox attached to a mechanical auto-locking differential.

Sunday, October 3, 2010

Vipaji Vingine Mhh



Mrembo wa Ujerumani mwenye matiti makubwa yenye ukubwa wa 46H aliwaacha hoi watazamaji na majaji wa shoo ya luninga ya kutafuta watu wenye vipaji vya kipekee nchini humo baada ya kuonyesha kipaji chake cha kipekee.

Mwanamke huyo aliwashangaza watu kwa jinsi alivyoyatumia matiti yake kuvunja mbao na matikiti maji.

Mwanamke huyo aliwafanya baadhi ya majaji wa shoo hiyo washindwe kuangalia mbele kwa kutoamini vitu alivyokuwa akivifanya

Nyota wa R&B Matatani Kwa Kumpiga Mama Yake



Nyota wa muziki wa R&B, Mario Barret, au maarufu kama Mario amefunguliwa mashtaka kwa kumshambulia mama yake aliyekuwa akiishi naye katika nyumba yao iliyopo Baltimore, Maryland nchini Marekani.

Maafisa wa polisi waliitwa nyumbani kwao ambapo mama wa nyota huyo wa muziki, Shawntia Hardaway, aliwaambia kuwa mtoto wake huyo mwenye umri wa miaka 24 amemjeruhi.

Shawntia aliwaambia polisi kuwa Mario alimsukuma na kukibamiza kichwa chake ukutani na kumsababishia maumivu makali ya kichwa.

Shawntia aliongeza kuwa anahofia maisha yake kutokana na kwamba hilo ni tukio la pili mtoto wake amemshambulia ndani ya wiki moja.

Mwanasheria wa Mario, William "Hassan" Murphy III, alisema kuwa tukio hilo ni la bahati mbaya kati ya mtoto mwenye mapenzi na mama yake ambaye anatumia madawa ya kulevya.

Mario alifunguliwa mashtaka na yuko nje kwa dhamana ya dola 50,000.

Si Uchawi ni Mazoezi tu..



Hivi ni vijimambo tu vya wacheza sarakasi wa India wakionyesha jinsi walivyo fiti kwa kujinyonganyonga kama vile hawana mifupa, wakining'ia kwenye chuma katika hali ambayo itakufanya usiamini macho yako.

Hakuna uchawi hapa ni mazoezi tu

Friday, September 24, 2010

Je Arsenal wanaonea wanyonge?

Katika mechi tatu Arsenal wamefikisha jumla ya magoli 16. Walipocheza dhidi ya Braga ya Ureno walitikisa magoli mara sita, kabla ya hapo waliichapa Bolton Wonderers goli 4-1, awali Blackpool walipigwa 6-0





Arsene Wenger anaamini timu yake imejengeka zaidi na itapata mafanikio, lakini amesikika akisema hivyo miaka kadhaa bila kuambulia kitu.


Maswali ambayo yanaibuka ni je Arsenal inaonea wanyonge? Wakipambana na timu kali kama Chelsea, Man U au Real Madrid na Barcelona watafurukuta kwa kasi hiyo waliyo nayo sasa?

Ni wazi kuwa safu ya ulinzi msimu huu imeimarika zaidi kuliko wakati Mikael Sylvestre na Sol Campbell na William Gallas walipokuwa wakicheza katikati. Lakini kama ni Arsenal kuonea wanyonge, iweje pasipo Robin van Parsie, Theo Walcott, Thomas Vermaelen, Abu Diaby na wengineo, bado wanaweza kufunga magoli sita katika mechi moja?

Huenda ni mapema sana kuhoji uimara wa Arsenal. Lakini meneja Arsene Wenger anasema ana imani kikosi chake kimejengeka na kipo tayari kukwaruzana na timu yoyote kubwa au ndogo.

Kwa jinsi walivyocheza mechi ya ligi ya vilabu bingwa barani Ulaya dhidi ya Braga, Arsenal wanacheza soka ya kuvutia, lakini mara nyingi soka hiyo imegeuka kuwa maumivu wanapocheza na timu zisizokuwa na masihara mbele ya goli.

Na je Arsene Wenger amesikika mara ngapi akisema "chipukizi wake" watabeba kikombe au vikombe? Tunachoweza kufanya kwa sasa, ni kusubiri mwisho wa msimu

Tuesday, September 14, 2010

2010 VMAs: The MTV Video Music Awards red carpet is ruled by Lady Gaga




While everyone waited for Kanye West and Taylor Swift to butt heads on the 2010 MTV Video Music Awards Sunday night, the stars caused an explosion on the red carpet - one in particular.

Continuing on from last year, Lady Gaga was the show stopper at this year's VMA awards. The 'Alejandro' singer won over the audience when she cried over Cher holding her meat purse, paid tribute to late designer Alexander McQueen and sang some lines from her new album, 'Born This Way.'





Lady Gaga

Stefani Joanne Angelina Germanotta (born March 28, 1986), known by her stage name Lady Gaga, is an American recording artist. She began performing in the rock music scene of New York City's Lower East Side in 2003 and enrolled at New York University's Tisch School of the Arts. She soon signed with Streamline Records, an imprint of Interscope Records. During her early time at Interscope, she worked as a songwriter for fellow label artists and captured the attention of Akon, who recognized her vocal abilities, and signed her to his own label, Kon Live Distribution.



Released on August 19, 2008, her debut album, The Fame, reached number one in the UK, Canada, Austria, Germany and Ireland, and reached the top-ten in numerous countries worldwide; in the United States, it peaked at two on the Billboard 200 chart and topped Billboard's Dance/Electronic Albums chart. Its first two singles, "Just Dance" and "Poker Face", co-written and co-produced with RedOne, became international number-one hits, topping the Billboard Hot 100 in the United States as well as the charts of other countries. The album later earned a total of six Grammy Award nominations and won awards for Best Electronic/Dance Album and Best Dance Recording. In early 2009 she embarked on her first headlining tour, The Fame Ball Tour. By the fourth quarter of the year, she had released her second studio album The Fame Monster, with the global chart-topping lead single "Bad Romance", as well as having embarked on her second headlining tour of the year, The Monster Ball Tour.



Lady Gaga is inspired by glam rock artists such as David Bowie and Queen, as well as pop singers such as Madonna and Michael Jackson. She has also stated fashion is a source of inspiration for her songwriting and performances. Gaga was ranked the 73rd Artist of the 2000–10 decade by Billboard.[1] As of August 2010, Gaga has sold more than 15 million albums and 51 million singles worldwide.[2][3] In May 2010, Time magazine included Gaga in its annual Time 100 list of the most influential people in the world. In June 2010, Forbes listed Gaga fourth on its list of the 100 Most Powerful and Influential celebrities in the world; she is also ranked as the second most powerful musician in the world

Chelsea Handler tells VMA critics like Perez Hilton to shove it after 11.5 million viewers tune in


Chelsea Handler thinks everyone should just eff off.

The "Chelsea Lately" host is blasting critics of her performance as the host of the MTV Video Music Awards on Sunday.

"I had a really great time last night," said Handler on her show Monday night, “and for anyone who thinks I didn't do a good job, f--- off."

On Monday, The New York Times called Handler "among the worst [hosts] in the show's history," and the Washington Post slammed her jokes as "a few degrees below crass."

But Handler's most vocal opponent was infamously vitriolic celebrity blogger Perez Hilton.

"For the most part, we were bored and just hoping she would shut the hell up so we could hear more music," he wrote.

Handler responded by attacking Hilton personally.

"oh, f--- off," she Tweeted Tuesday morning. "I had a blast and the show awesome last night. Bomb? Your life is a bomb."

The duo traded expletives for several hours, but Handler got the last laugh when word of the show's ratings came in.

The VMAs reportedly netted 11.4 million viewers and, according to EW.com, is currently the highest-rated cable telecast of 2010

Thursday, September 2, 2010

N'dour wa Senegal azindua televisheni



Mwanamuziki wa miondoko ya Pop kutoka Senegal Youssou N'dour amezindua rasmi kituo chake cha televisheni baada ya kusumbuana na serikali ya nchi hiyo kwa miaka miwili.

Mwanamuziki huyo tayari anamiliki kampuni yake binafsi inayoshughulikia vyombo vya habari huko Dakar, inayokusudia kuipinga serikali ya nchi hiyo.

Waandishi wanasema, kituo hicho kipya, TFM, kitaonyesha masuala ya kiutamaduni, baada ya serikali kumnyima leseni ya kuonyesha mambo mengine tofauti.

Bw N'dour kwa sasa ana matumaini ya kuzifikia nchi jirani.


Youssou N'dour


Mwandishi wa BBC wa Afrika magharibi aliyopo Dakar Thomas Fessy alisema mwanamuziki huyo ana matumaini ya kampuni yake kuwa shirika kuu la habari eneo hilo la magharibi ya Afrika.

Kituo chake cha redio, kilichozinduliwa miaka saba iliyopita, kina mafanikio makubwa na ina wasikilizaji wengi katika mji mkuu wa Dakar.

Mhariri wa redio hiyo Allassane Samba Diop, ambaye atafanya kipindi kimoja katika televisheni hiyo ya TFM (Television Future Medias), aliiambia BBC kwamba "utamaduni" inawanyima nafasi ya kufanya vipindi vingi.

Alisema bado itakiruhusu kituo hicho kuandaa masuala ya kijamii, kisiasa na kiuchumi. TFM ni televisheni ya tano ya kibinafsi nchini humo.

Youssou N'dour aliimba na kutoa hotuba kuadhimisha uzinduzi huo.

"Katika ulimwengu ambao watu zaidi wanaathiriwa na nguvu ya picha na kasi ya habari, nina furaha kusema kwamba serikali ya Senegal imechukua uamuzi sahihi tarehe 11 Mei 2010, kuruhusu TFM kufanya matangazo."

Ushawishi wa kisiasa?
Mashabiki walifurahia uzinduzi huo.

Mshabiki mmoja Saliou Diouf, "Tunaomba Mungu aibariki televisheni yake.....Tunamtakia kila la kheri tukiwa na matumaini, huku tukimshukuru Mungu, atafanikiwa kwa yale aliyoyakusudia na televisheni hii."

Mtafaruku wa leseni ulianza rasmi kutokana na namna televisheni hiyo itakavyodhaminiwa.

Rais wa Senegal Abdoulaye Wade awali alisema leseni ya kurusha matangazo imekataliwa ili kuzuia "watu wa kigeni" kutoa ushawishi wa sera zao.

Mwandishi wa BBC mjini Dakar Tidiane Sy alisema, Bw N'dour alitumia umaarufu wake kama mwanamuziki, kuwakusanya maelfu ya wafuasi kumwuunga mkono na hatimaye akafikia muafaka na serikali.

Mwandishi wetu aliongeza, Bw N'dour alisema hivi karibuni kwamba hatowania urais, lakini atamwuunga mkono anayegombea urais katika uchaguzi ujao, unaotarajiwa kufanyika mwaka 2012.

Pakistan yawaacha 'watatu'





Meneja wa timu ya Pakistan Yawar Saeed amesema wachezaji watatu wa kriketi wa Pakistan wanaotuhumiwa kupanga matokeo hawatacheza michezo yete iliyosalia nchini Uingereza.


Butt, Asif na Amir wanaotuhumiwa kupanga matokeo


Salman Butt, Mohammad Asif na Mohammad Amir, wanachunguzwa na polisi kuhusiana na tuhuma kuwa Asif na Amir walirusha mipira mibovu kwa makusudi.

Mwenyekiti wa bodi ya kriketi ya Pakistan (PCB) Ijaz Butt alisema siku ya Jumatano kuwa wachezaji hao wanaweza kuendelea kucheza.

Lakini Saeed amesema "nimeamua kutowachezesha, na sio kwamba wamesimamishwa uchezaji".

Nahodha wa michuano ya test Salman Butt na warusha mipira Asif na Amir, wako mjini London wakiwa katika kikao cha uchunguzi cha PCB kuhusiana na matukio kwenye mchezo kati ya Pakistan na England kwenye uwanja wa Lords. Wachezaji wenzao wanacheza mchezo wa mazoezi dhidi ya Somerset huko Taunton.

Pakistan, ambao walipoteza mchezo wao wa Test kwa 3-1, watacheza tena michezo miwili ya Twenty20 dhidi ya England, wa kwanza ukifanyika Jumapili mjini Cardiff, kabla ya kucheza michezo mitano ya one-day series.

Monday, August 30, 2010

Kanye & Jay-Z joint album




Hip-hop star Kanye West has announced a collaboration album with rap mogul Jay-Z. The controversial star tweeted about the upcoming five-song record.

More:

Jay-Z is married to this R&B diva.

West sparked controversy when he appeared on the cover of Rolling Stone in 2006.

At last year's MTV VMA Awards, West interrupted this country sweetheart's acceptance speech.

Liverpool yamsajili Raul Meireles








Klabu ya Liverpool imeimarisha sehemu ya kiungo baada ya kufanikiwa kumsajili Raul Meireles kutoka Porto ya Ureno.

Liverpool imelipa euro milioni 14 sawa na paundi milioni 11.5 za Uingereza kuweza kumnasa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ureno mwenye umri wa miaka 27 aliyekwishacheza mechi 38 za kimataifa.

Mchezaji huyo mwenye nguvu sehemu ya kiungo anaonekana ataziba ipasavyo pengo lililoachwa na Javier Mascherano anayekamilisha harakati za kuhamia Barcelena.

Meireles amesema meneja wa Liverpool Roy Hodgson amefanya kazi kubwa kuweza kumsajili na kwake ni hiyo historia kubwa kujiunga na Liverpool.

Ameeendelea kusema ilikuwa ni ndoto yake ya siku nyingi kucheza ligi ya England na sasa ndoto hiyo imetimia.

Meireles anaungana na akina Milan Jovanovic, Joe Cole, Christian Poulsen, Jonjo Shelvey na Danny Wilson waliojiunga na Liverpool msimu huu.

Kiungo huyo aliichezea Ureno mechi zote nne nchini Afrika Kusini katika fainali za Kombe la Dunia mwaka huu.

Katika miaka yake sita aliyoichezea Porto mchezaji huyo wa zamani wa klabu za Boavista na Aves amefanikiwa kushinda mara nne ubingwa wa ligi ya Ureno.

Chelsea yazidi kuongoza England










Didier Drogba

Didier Drogba

Chelsea vinara wa Ligi Kuu ya England wameendeleza rekodi ya ushindi kwa msimu huu baada ya kuwalaza Stoke City mabao 2-0.

Pamoja na ushindi huo Chelsea walikosa kufunga mkwaju wa penalti baada ya Frank Lampard aliyecheza chini ya kiwango kupiga shuti hafifu lililodakwa na mlinda mlango Thomas Sorensen wa Stoke City.

Mabao ya Chelsea yalifungwa na Florent Malouda kipindi cha kwanza na bao la pili lilipachikwa na Didier Drogba kwa mkwaju wa penalti kipindi cha pili. Kwa matokeo hayo Chelsea wamefikisha pointi tisa kwa michezo mitatu na wanaongoza ligi hiyo.

Katika pambano lililochezwa mchana, Arsenal nao waliweza kujiongezea pointi tatu baada ya kuwafunga Blackburn Rovers nyumbani kwao mabao 2-1 na kufikisha ponti saba.

Matokeo mengine kwa michezo ya leo ya Ligi Kuu ya England, Blackpool walitoka sare ya kufungana mabao 2-2 na Fulham, Tottenham walikubali kipigo cha bao moja nyumbani kwao dhidi ya Wigan na Wolves walikwenda sare ya bao 1-1 walipowakaribisha Newcastle

Mascherano avutiwa na Barcelona









Liverpool imemuuza mcheza kiungo Javier Mascherano aliyepania kujiunga na klabu ya Uhispania Barcelona kwa takriban pauni milioni 17.25 imefahamishwa BBC.
Javier Mascherano

Mascherano sasa kuichezea Barcelona

Hata hivyo mpango mzima wa usajili utategemea mchezaji huyo ambaye ni nahodha wa timu ya taifa ya Argentina kufanikiwa majaribio ya afya huko Barcelona.

Klabu ya Barcelona imethibitisha kwenye tovuti yao kwamba vilabu vimeafikiana juu ya usajili wa Mascherano kwa kipindi cha misimu minne ijayo.

Pindi majaribio yakifanikiwa Barcelona itawafahamisha wakuu wa Liverpool na hivyo kukamilisha usajili.

Taarifa ya Barcelona imeongezea kusema kuwa mpango mzima wa usajili ulikamilishwa baada ya juhudi zilizofanywa na klabu katika dakika za mwisho ambapo mchezaji mwenyewe alishiriki majadiliano.

Inatazamiwa kuwa Mascherano atawasili huko Barcelona mwishoni mwa juma hili.

Katika mpango mzima Liverpool ilitaka irudishe pauni milioni 18 ilizolipa kumsajili mchezaji huyo alipowasili kutoka klabu ya West Ham.

Kabla ya hapo Liverpool ilikataa malipo ya pauni milioni 16 zilizopendekezwa na Barcelona siku saba zilizopita.

Hata hivyo hakushiriki mechi kati ya Manchester City na Liverepool