Friday, October 29, 2010

Friday, October 15, 2010

Eminem Died In A Car Crash??



Leates news updates Eminem died? Eminem died in a car crash? Did rapper Eminem die less than one week after his “8 mile” co-star Brittany Murphy? The Detroit born rapper is said to have died in a wreck. This is coming from the same people that said that Lil Wayne died and that Miley Cyrus died… SMH! When will people believe that not everything you read on the internet is true – errrr – except for what you read on latest hot world news, that is(Eminem Died)

The stupid report details how the rapper was killed in a horrible car crash,just days after his “8 mile” co-star Brittany Murphy passed away.Eminen is well and he recently re-released his sixth studio album called “Relapse: Refill

Eminem died? Eminem died in a car crash? Did rapper Eminem die less than one week after his “8 mile” co-star Brittany Murphy? The Detroit born rapper is said to have died in a wreck. This is coming from the same people that said that Lil Wayne died and that Miley Cyrus died... SMH! When will people believe that not everything you read on the internet is true - errrr - except for what you read on that is!

No, Eminem is NOT dead, so stop spreading silly rumors!
Related searches:
eminem, eminem dead, did eminem die, is eminem dead, eminem death

Monday, October 11, 2010

Kenya na Uganda zang'ang'ania medali




Mateelong ashinda dhahabu

Wanariadha wa Kenya walinyakua medali zote tatu, dhahabu, fedha na shaba katika mbio za mita elfu tatu kuruka viunzi.

Richard Mateelong aliongoza msafara wa Wakenya alipomaliza baada ya muda wa dakika 8:16:39 akifuatiwa na Ezekiel Kemboi naye bingwa wa Olimpiki Brimin Kiprop Kipruto alibaki kuikumbatia medali ya shaba.

"Ni matokeo mazuri sana", alisema Mateelong huku akikiri kwamba "kilikuwa kibarua kigumu sana lakini nimefurahi kupata ushindi".

Akizungumza baada ya mashindano, Kipruto alisema nia yao kubwa ilikuwa kuhakikisha kwamba wananyakuwa medali zote tatu.


Kipsiro anyang'anya Wakenya tonge mdomoni





Kipsiro awapiku Wakenya na kunyakua dhahabu ya pili

Baadaye, Nancy Jebet Langat pia kutoka Kenya alishinda medali ya dhahabu katika mbio za mita 800 ikiwa ni taji la pili baada ya kushinda mita 1,500 mnamo mwisho wa wiki.

Pambano la mita 800 lilizua msisimko katika uwanja wa Jawaharlal Nehru wakati mwenyeji Tintu Luka alijitosa mbele kwa mikikimikiki huku akishangiliwa kwa mayowe na vifijo.

Mkenya mwingine Winny Chebet ambaye alionekana kuwania nafasi ya pili, alianguka akiwa amesalia na mita 10 peke yake kumaliza mbio hizo.

Lakini baada ya kuongoza mzunguko wa kwanza Tintu alianza kupwaya, pumzi ikamwishia, wenzake wakampita na akamaliza mnamo nafasi ya sita.

Ilikuwa ni siku ya kufana pia kwa Uganda baada ya Moses Ndiema Kipsiro kushinda medali yake ya pili baada ya kuwapiku wapinzani kutoka Kenya katika mbio za mita elfu 10.

Wiki iliyopita Kipsiro alionyesha ukali wake alipotamba mbele na kushinda dhahabu katika mbio za elfu tano.

Katika mbio za mita elfu 10, nusura Wakenya wangenyakuwa dhahabu lakini Kipsiro alikataa kata kata huku akitwaa ushindi kwa dakika 27:57.39. Mkenya Daniel Salel alisalia na fedha huku Joseph Birech akijishindia shaba.

Saturday, October 9, 2010

Msimamo wa Ligi Kuu ya England



Asabar, 9 Oktoba 2010 00:00 UK

Position Timu
M TG PNT

1 Chelsea 7 21 18
2 Man City 7 6 14
3 Man Utd 7 7 13
4 Arsenal 7 7 11
5 Tottenham 7 2 11
6 West Brom 7 -3 11
7 Stoke 7 -1 10
8 Aston Villa 7 -3 10
9 Blackpool 7 -4 10
10 Fulham 7 1 9
11 Sunderland 7 0 8
12 Bolton 7 -1 8
13 Blackburn 7 -1 8
14 Wigan 7 -9 8
15 Newcastle 7 0 7
16 Birmingham 7 -3 7
17 Everton 7 -1 6
18 Liverpool 7 -4 6
19 Wolves 7 -5 5
20 West Ham 7 -9 5

Man United yadaiwa paundi milioni 80


Man United yakabiliwa na deni kubwa



Klabu ya Manchester United imearifiwa inadaiwa paundi milioni 79.6 za Uingereza hii ni kabla ya kukatwa kodi, ikiwa ni mzozo mkubwa wa kifedha kuikumba klabu, hiyo hali iliyosababisha kupungukiwa na fedha za mauzo ya wachezaji.





Deni hili ni la miezi 12 hadi mwezi wa Juni, ikilinganishwa na faida ya paundi milioni 48 kwa mwaka uliopita, ambapo mapato yaliongezeka baada ya kumuuza mshambuliaji wao Cristiano Ronaldo kwa paundi milioni 80.

Madeni yote kwa ujumla ya klabu hiyo kwa mwaka uliopita yalifikia dola milioni 67. Pia klabu hiyo ililipa riba ya paundi milioni 40.

Wakati watu nao walipungua kuingia uwanjani kwa mechi, hali iliyozidisha kuporomosha mapato ya kibiashara ya klabu.

Kwa ujumla mapato halisi ya Manchester United kwa mwaka yaliongezeka kwa paundi milioni 286.4.

Malipo ya riba ya paundi milioni 40 yaliyofanywa yalikuwa sawa na malipo ya mwaka uliopita.

Faida itokanayo na uendeshaji, ambayo haijumuishi gharama za madeni yaliyotokana na huduma, pia imepanda, na kufikia paundi milioni 100.8, ikilinganishwa na paundi milioni 92 kwa mwaka uliotangulia.

Manchester United ilinunuliwa na familia ya akina Glazer ya Marekani kwa dola milioni 800 mwaka 2005.

Mashabiki wanaoipinga wanadai familia hiyo imeitumbukiza klabu hiyo katika deni kubwa, hali iliyosababisha kuwepo na maandamano.

Mashabiki wengi wanaendelea kususia kuvaa fulana za klabu hiyo za rangi nyekundu pamoja skafu na badala yake wameamua kuvaa fulana za rangi ya kijani na dhahabu, ambazo ndio rangi za asili za Newton Heath, klabu iliyoanzishwa mwaka 1878 iliyokuwa an wachezaji wasio wa kulipwa ambayo baadae iligeuka na kuwa Manchester United.

Watoto wa Mombasa katika ziara Uingereza



Watoto 14 kutoka mjini Mombasa, Kenya, na wenye umri wa chini ya miaka 13, wamekuwa nchini Uingereza kushiriki katika mechi kadhaa za kandanda.



Watoto wakiwa na makocha wao na mwakilishi wa Touraid
Kundi hilo la watoto kwa jina Coastal Kings, yaani Wafalme wa Pwani, liliweza kupambana katika soka na watoto wa shule ya Uingereza ya Elstree.

Katika kipindi cha wiki moja, watoto hao waliweza kupata jumla ya magoli tisa, na muhimu zaidi, kupata marafiki watakaodumu katika maisha yao yote.

Vijana hao waliweza kutoka sare katika mechi tatu, na kupata ushindi katika moja.

Mwalimu mkuu wa shule ya Elstree, Mark Sayer, alisema alipendezwa mno na namna vijana hao kwa upesi walivyoweza kujumuika katika jamii ya Elstree.

Mara tu walipofika walishangazwa na maisha ya Elstree, lakini baada ya muda mfupi tu, waliweza kwa ujasiri mkubwa kuyazoea masiha ya Elstree.

Mwalimu mkuu Sayer alisema itakuwa ni kwa masikitiko makubwa watasema kwaheri, wakati ukiwadia wa watoto hao kufunga safari kurudi Mombasa.

Safari ya vijana hao nchini Uingereza ilipangwa na shirika linalofahamika kama Touraid.

Kwa mengi zaidi kuhusu safari ya watoto hao Uingereza, sikiliza matangazo yetu ya Ulimwengu wa Soka, siku ya Jumamosi, yatakayoanza saa kumi unusu za Afrika Mashariki.

Fifa kuwaondoa mawakala wa wachezaji



Fifa inatarajia kuondoa utaratibu wa kuwatumia mawaka kwa sababu asilimia 30 ya uhamisho wa wachezaji wa kimataifa unasimamiwa na mawakala wenye leseni.


Rais wa Fifa, Sepp Blatter


Chama cha Soka cha England kimewaambia mawakala huenda kuanzia mwezi wa Oktoba mwaka 2011 maombi mapya ya watu wanaotaka kuwa mawakala wenye leseni hayatapokelewa".

Mshauri wa soka Tor-Kristian Karlsen, ameiambia BBC: "Suala la mawakala halitakuwepo."

"Kwa hika ni vurugu tupu na huchukua muda mrefu kwa Fifa kufuatilia na kukagua na hakika ni suala lenye urasimu."

Katika suala zima la uhamisho wa wachezaji, mawakala wanawashauri wachezaji juu ya udhamini na haki zao pamoja na mambo mengine na kwa kawaida hulipwa kiasi fulani fedha kutokana na mapato ya mkataba wa mchezaji, kawaida huwa kati ya asilimia 5 hadi 10.

Kazi ya mawakala zaidi wanashughulika na uhamisho wa wachezaji na wanaweza kufanya kazi muhimu sana ya kusimamia mikataba ifanikiwe.

Utaratibu wa sasa wa Fifa unaohusu mawakala wa wachezaji ulianza kutekelezwa tarehe 1 Januari 2008, lakini mwaka uliopita, kitengo kazi cha Fifa kilikuwa kikikutana mara kwa mara kupitia upya namna utaratibu huo unavyofanya kazi.

Kikundi kazi hicho kitatoa taarifa yake mwishoni mwa mwaka 2010 na utaratibu mpya unatarajiwa kuanza baada ya mwezi wa Mei mwaka 2011, huku Fifa ikisisitiza kuliko kuupitia upya utaratibu wa mawakala, inaona ni vyema kuwa na watu binafsi watakaowakilisha wachezaji ama klabu".

Lakini kutokana na asilimia 70 ya uhamisho wa wachezaji wa kimataifa ukisimamiwa na mawakala wasio na leseni, Fifa imeridhika utaratibu wa sasa sio mzuri

Liverpool hatarini kupoteza pointi




Liverpool hatarini kupoteza pointi



Klabu ya Liverpool inakabiliwa na hatari ya kukatwa pointi tisa iwapo kampuni inayoimiliki ya Kop Holdings itafilisiwa wiki ijayo.





Kanuni za ligi zinaeleza pointi zinaweza kukatwa iwapo kampuni inayoimiliki inakabiliwa na hatari ya kufilisika kutokana na mzozo wa utawala.

Taarifa zilizopatikana zinasema wamiliki wa klabu hiyo Tom Hicks na George Gillett watakuwa na kibarua kigumu kujieleza kwamba uendeshaji wa klabu hiyo hauathiri kampuni yao.

Liverpool inaweza ikaingia katika wimbi la kutangazwa imefilisika iwapo uuzwaji wa klabu hiyo hautakuwa umekubalika itakapofika tarehe 15 mwezi huu wa Oktoba.

Iwapo Hicks na Gillett watafanikiwa kuzuia uuzwaji wa klabu hiyo kwa gharama ya paundi milioni 300 kutoka kwa kampuni ya New England Sports Ventures (NESV), wanaomiliki timu ya mchezo wa baseball ya Marekani ya Boston Red Sox , kampuni yao inaweza kutangazwa imefilisiwa na Royal Bank of Scotland kutokana na deni inayodai ya paundi milioni 280.

Mtendaji Mkuu wa bodi inayoendesha Ligi kuu ya England Richard Scudmore, mwenyekiti Sir Dave Richards na katibu Mike Foster ndio watakaoamua kama kuna haja ya kuikata pointi klabu hiyo.

Liverpool tayari ipo katika wimbi la timu tatu zilizo chini ya msimamo wa Ligi Kuu ya England, baada ya kuanza vibaya msimu huu ikiwa na pointi sita tu kutokana na michezo saba iliyocheza hadi sasa.

Awali ilifikiriwa klabu hiyo ingeweza kuepuka adhabu hiyo, lakini sasa inakabiliwa na hatari iliyo wazi ya kukatwa pointi iwapo uuzaji wa klabu hiyo kwa kampuni ya NESV utacheleweshwa.

Friday, October 8, 2010

BMW 6 Series Concept




BMW 6 Series ConceptThis big BMW coupe squeaked onto our list, despite some serious reservations about the “concept” part of its name. What you’re looking at is the next 6 Series coupe, plain and simple. And to be honest, we love the end result. The awkward humps and bumps of the previous generation have been smoothed over and modernized.



The rear end of the 6 Series is particularly more refined (i.e., less lumpy) than the previous model. A more aggressive front end and sharp side creases add extra attitude. It might not be a concept in the strict sense of the term, though we can’t argue that the next 6 Series is going to be a looker.

Kia Pop




Kia Pop

To prove that we have sense of humor—and admire a healthy dose of bravery—we simply had to include the Kia Pop electric car. Okay, we’d prefer to see the Lamborghini Sesto Elemento or Jaguar C-X75 parked in our driveway. But if electric cars represent the future, let’s at least have some fun until we get there.



Whereas the upcoming Nissan Leaf EV was kept almost painfully bland—so as not to alienate everyone but the hippest of tech-loving early-adopters—the Kia Pop is anything but a shrinking violet, despite its tiny size. Yes, the chrome finish of this concept would make keeping it clean a nightmare. Yet we couldn’t help but smile at those wacky-looking side windows and doors that swing up and out.



The purple interior takes some serious getting used to. So would an estimated top speed of only 87 mph and a driving range of 100 miles. The Kia Pop EV is far from perfect and definitely risky. But isn’t that what concept cars should be all about?

Audi eTron Spyder Concept




Audi eTron Spyder Concept

This is the open-top version of the 2-seat eTron coupe shown earlier this year at Detroit. The Spyder features a cut-down windscreen and is actually a plug-in hybrid with a mid-mounted 300-bhp twin-turbo V-6 diesel to boost power and extend the vehicle’s range. Weighing just 3196 lb., the eTron has two electric motors that propel this sports car to 62 mph in 4.4 seconds, while top speed is electronically limited to 155 mph. In pure electric mode, the eTron has a range of about 30 miles, while the diesel enables the vehicle to travel more than 600 miles before refueling.

Renault DeZir Concept




Renault DeZir Concept

This first show car from Renault’s new design director Lauren van der Acker is a 2-seat pure electric sports car called the DeZir. The capital Z in the name refers to Renault’s new ZE line of electric motors—in this case it’s a 150-hp unit that accelerates the 1800-lb. car to 62 mph in about 5 seconds. Contributing to the car’s light weight is its Kevlar body, and the sleek shape gives the car an ultra-low 0.25 coefficient of drag. The rear-drive DeZir has a range of about 100 miles between charges. The car is also equipped with a Kinetic Energy Recover System (KERS) developed by the Renault Formula 1 team that provides regenerative braking.

Exagon Furtive-eGT



The latest entry into the range-extended sporty car market is the French-built Exagon Furtive-eGT, which is slated to go into limited production in 2012. Powered by lithium-ion batteries, the Furtive-eGT has an electric-only range of 160 to 250 miles, while an optional gas engine can extend that range to 500 miles. Exagon says the car is capable of 0 to 62 mph acceleration of 3.5 seconds and that the car has a top speed of 178 mph. The company hopes to build about 100 cars a year when it goes into full production. Unlike most EVs that use the motors to directly drive the wheels, the Furtive-eGT uses a 3-speed paddle-shift gearbox attached to a mechanical auto-locking differential.

Sunday, October 3, 2010

Vipaji Vingine Mhh



Mrembo wa Ujerumani mwenye matiti makubwa yenye ukubwa wa 46H aliwaacha hoi watazamaji na majaji wa shoo ya luninga ya kutafuta watu wenye vipaji vya kipekee nchini humo baada ya kuonyesha kipaji chake cha kipekee.

Mwanamke huyo aliwashangaza watu kwa jinsi alivyoyatumia matiti yake kuvunja mbao na matikiti maji.

Mwanamke huyo aliwafanya baadhi ya majaji wa shoo hiyo washindwe kuangalia mbele kwa kutoamini vitu alivyokuwa akivifanya

Nyota wa R&B Matatani Kwa Kumpiga Mama Yake



Nyota wa muziki wa R&B, Mario Barret, au maarufu kama Mario amefunguliwa mashtaka kwa kumshambulia mama yake aliyekuwa akiishi naye katika nyumba yao iliyopo Baltimore, Maryland nchini Marekani.

Maafisa wa polisi waliitwa nyumbani kwao ambapo mama wa nyota huyo wa muziki, Shawntia Hardaway, aliwaambia kuwa mtoto wake huyo mwenye umri wa miaka 24 amemjeruhi.

Shawntia aliwaambia polisi kuwa Mario alimsukuma na kukibamiza kichwa chake ukutani na kumsababishia maumivu makali ya kichwa.

Shawntia aliongeza kuwa anahofia maisha yake kutokana na kwamba hilo ni tukio la pili mtoto wake amemshambulia ndani ya wiki moja.

Mwanasheria wa Mario, William "Hassan" Murphy III, alisema kuwa tukio hilo ni la bahati mbaya kati ya mtoto mwenye mapenzi na mama yake ambaye anatumia madawa ya kulevya.

Mario alifunguliwa mashtaka na yuko nje kwa dhamana ya dola 50,000.

Si Uchawi ni Mazoezi tu..



Hivi ni vijimambo tu vya wacheza sarakasi wa India wakionyesha jinsi walivyo fiti kwa kujinyonganyonga kama vile hawana mifupa, wakining'ia kwenye chuma katika hali ambayo itakufanya usiamini macho yako.

Hakuna uchawi hapa ni mazoezi tu