![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2FAVrQb7JBkTaCkAeF9mllDlTLB8Opse8k7NargeRA29L8_oTycK8On5GGVXfwALqqP1kXrAzztzTh4FYwq0J40xUSYfY4MMo_z9wYZ3ii_eWpQef8W3VO9GszXqHF1VUufJyAaV4naI/s320/4482602.jpg)
ahazi wanasema:
Malipo ni duniani, akhera kuhesabiwa
usijigeuze nyani, kucheka uliyoombewa,
wajua unakotoka, hujui unakokwenda
mithili ya rabuka, haijui mwanamwenda
hata uwe unaruka, kwa mola huwezi kwenda
-
Alopewa mitihani, mungu hajamuonea
Msikae vikaoni, vidole kumnyooshea
--
Kibwagizo
-----------
Wasafirishe wapeleke pwani na jahazi
Mwanamke nyonga, makalio ni majaliwa
No comments:
Post a Comment